Friday, 16 June 2017

Sio mimi naweza nikavujisha nyimbo.Rich Mavoko

Muimbaji huyo kutoka WCB amesema, yeye hausiki kwenye hilo ila kuna uwezekano hilo lilitokea wakati wa kuamisha kazi hiyo ndipo watu wasio waaminifu walipoipata.
“Sio mimi naweza nikavujisha nyimbo. Fid amenicheck ameniuliza mbona imetoka hivi halafu kule mwisho sisikii ambapo umeimba wewe? Nikamwambia hii ni demo ile ya kwanza,” amesema Rich.
Msanii huyo ameongeza kuwa inabidi wafanye haraka iwezekanavyo kuhakikisha wimbo huo unakamilika ili uweze kuachiwa mara moja.

0 comments:

Post a Comment

Copyright © MOtown TV | Designed With By Blogger Templates
Scroll To Top