Siku ya jana msanii huyo alijikuta akimgonga na gari mpiga picha mwenye miaka 57 baada ya kutoka kanisani. Tukio hilo limetokea maeneo ya Beverly Hills nchini Marekani.
Justin Bieber alijikuta akipatwa na hofu baada ya kumgonga kwa bahati mbaya mtu huyo hali iliyopelekea kutoka katika gari na kumuhoji aliyemgonga anataka nini ili aondoke eneo la tukio.
Justin Bieber alijikuta akipatwa na hofu baada ya kumgonga kwa bahati mbaya mtu huyo hali iliyopelekea kutoka katika gari na kumuhoji aliyemgonga anataka nini ili aondoke eneo la tukio.


0 comments:
Post a Comment