Saturday, 15 July 2017

Sina mahusiano yoyote na Bill Nass

Nandy amefunguka nakuweka wazi kuwa hana mahusiano yoyote ya kimapenzi na  Bill Nass
Nandy akiwa kwenye mahujiano ndani ya kipindi cha XXL Jul.14.2017 nakufunga haya>>>
"Kiukweli mimi sina mahusiano na Billnass naomba watanzania na mashabiki wa nandy watambue hilo mimi nina mahusiano yangu na pia namshukuru mungu kwa hilo" Alisema Nandy

0 comments:

Post a Comment

Copyright © MOtown TV | Designed With By Blogger Templates
Scroll To Top