"Katika vitu ambavyo
tunatakiwa kujivunia ni kuwa na wasanii ambao wanatangaza taifa letu
mbele na kujivunia juhudi zao. Naimani heshima, busara na juhudi ndiyo
nyenzo pekee zilizowafanya wazungu kumwaga wino na kumkaribisha Alikiba
meza moja na kumkabidhi kampuni kubwa ya Rockstar4000 kuwa mmiliki mmoja
wapo na Director" alisema Harmorapa
Mbali na hapo Harmorapa aliwataka wasanii wengine kujifunza na
kujivunia uwepo wa Alikiba kwani amekuwa akiutendea haki muziki wa
bongofleva na kuipeperusha vizuri bendera ya Tanzania nje ya nchi.
"Wasanii wa Tanzania inabidi
tujifunze na kujisifu kwa kuwa na King Alikiba maana anautendea haki
mziki wetu wa bongo fleva, hongera zangu zizidi kutiririka kwa King wewe
uliokosa mfano hapa bongo" alisisitiza Harmorapa
0 comments:
Post a Comment