”Kutokana na ibara ya 45 Katiba nimeamua kumsamehe familia ya Nguza Viking jina lingine anaitwa Babu Seya na mwanae PapiiKocha na wao naomba kuanzia leo waachiwe huru”-Rais JPM
Mbali na Familia ya Babu Seya Rais Magufuli ametangaza msamaha kwa wafungwa 8,157 na ambao wanatakiwa kutolewa siku ya leo ni 1,828 ikiwemo familia ya Babu Seya
ByMillardayo.com
0 comments:
Post a Comment