Friday, 16 June 2017

Siku ya Mtoto wa Afrika 16 Juni,2016

Ijumaa hii ya Juni 16 ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya mtoto wa Afrika ambapo kwa jiji la Dar es Salaam maadhimisho hayo yamefanyika katika viwanja vya Jakaya Kikwete Yourth Park maeneo ya Kidongo Chekundu, Mnazi Mmoja.
.
Katika sherehe hizo mgeni rasmi alikuwa ni Balozi wa Jumuiya ya Umoja wa Ulaya, Roeland Van de Geer, ambaye pia aliweza kukagua gwaride lililoandaliwa na watoto kutoka Shule ya Tandika pamoja na kushuhudia burudani nzito iliyotolewa na watoto wenye umri wa takriban miaka miwili mpaka mitatu kutoka kwenye taasisi ya Beginners Foundation.

0 comments:

Post a Comment

Copyright © MOtown TV | Designed With By Blogger Templates
Scroll To Top