.
Katika sherehe hizo mgeni rasmi alikuwa ni Balozi wa Jumuiya ya Umoja wa Ulaya, Roeland Van de Geer, ambaye pia aliweza kukagua gwaride lililoandaliwa na watoto kutoka Shule ya Tandika pamoja na kushuhudia burudani nzito iliyotolewa na watoto wenye umri wa takriban miaka miwili mpaka mitatu kutoka kwenye taasisi ya Beginners Foundation.

0 comments:
Post a Comment