Saturday, 17 June 2017

Mtanzania Aonja Jela nchini Uingereza

Mwanaume mmoja mwenye asili ya Tanzania Omega  mwaikombo (43) amehukumumiwa kwenda jela kwa miezi 3, ni baada ya kuweka  kwenye mtandaoni wa facebook picha za  mtu aliefariki kwa ajali ya moto nchini Uingereza kwenye jengo la Grinfell Tower.

Omega amekiri kosa hilo na kudai kuwa alifanya hivyo  ili kurahisisha utambuzi wa mwili wa marehemu huyo.

0 comments:

Post a Comment

Copyright © MOtown TV | Designed With By Blogger Templates
Scroll To Top