Mkuu
wa Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya, Reuben Mfune amethibitisha kutokea
kwa ajali hiyo na kusema chanzo cha ajali hiyo kimetokana na mwendo kasi
wa dereva ambapo basi hilo lilikuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es
Salaam.
Pamoja na hayo, Mfune amesema majeruhi wa watano ajali hiyo wamepelekwa katika Hospitali ya Misheni ya Chimala ya Wilaya ya Mbarali
na wengine watatu wamepelekwa Hospitali ya Rujewa kwa matibabu.
.
.
.
source-eatv
Pamoja na hayo, Mfune amesema majeruhi wa watano ajali hiyo wamepelekwa katika Hospitali ya Misheni ya Chimala ya Wilaya ya Mbarali
na wengine watatu wamepelekwa Hospitali ya Rujewa kwa matibabu.
.
.
.
source-eatv

0 comments:
Post a Comment