Chin Bees," Jina langu halifanani nala Chid Benz, Hivi karibuni chid aliskika akifanya mahojiano na Planet Bongo ya East africa redio na kumtaka Chin Bees abadilishe jina lake kwasababu majina yao yana Fanana.
Chin Bees amejibu kuhusiana na swala lakugombania majina sahvi mininafanya mziki wangu na pia kama lingekuwa linafanana na lake wa Tanzania wangeshaongea asa mimi sijawahi kukutana na hiyo comments misiwezi kubadili jina braza ansamehetu," Alisema Chin Bees
Chin Bees aliongezea na kuelewesha maana ya Bees nikidevu na hiyo ndio halisia ya jina la Chin Bees.

Mjina hayafanani bana brooo CHUMA
ReplyDelete