Saturday, 1 July 2017

Diamond Platnumz kuzindua bidhaa yake mpya iitwayo Diamond Karanga

Ni June 29, 2017 staa Diamond Platnumz amezindua bidhaa yake mpya iitwayo Diamond Karanga ambayo itakuwa ikipatikana kwenye maduka yote Tanzania kwa shilingi 300.


Nassbu Abdull-Diamond Platnumz alizindua bidhaa yake mpya ila kabla yakuitambulisha kwanza aliwashukuru watanzania kwakuipokea vizuri CHIBU PERFUME nakusema japokuwa kunabaadhi yawatu wanashindwa kuinunua ila sio mdamrefu  CHIBU PERFUME itapatikana kwaujazo mdogo.


Diamond Platnumz  amezindua karanga zake tareh 29, 2017 nakusema zitakuwa zinapatikana nchinzima kwa sh.300 na zinakuwa zimeshaandaliwa kwenye paket kabisa, nakusema kutengeneza thamani siotu kwawauzakaranga ata kwawakulima wa zaolakaranga ii itasaidia kuongezeka kwa kilimo cha karanga Diamond alisema kama Mh.Raisi ameshasema Tanzania ni yaviwanda hivyo kiwandachetu tunatengenezea hapa hapa Tanzania aliwaomba watanzania waendelee kumsaport kwani wakispotiana yeye atapata rizki na yeye atawaajiri vijana wenzake. Alisema Diamond Platnumz C.E.O. wa W.C.B

0 comments:

Post a Comment

Copyright © MOtown TV | Designed With By Blogger Templates
Scroll To Top