.
.
Mcheza mieleka huyo kwamara ya kwanza kuweka wazi kuwa wakati akiwa mdogo maisha yake hayakuwa na raha muda wote kwani wakati anakuwa alikuwa akionewa sana njiani wakati akiwa anaeleka kupanda gari la shule alionewa sana alisukumwa nakuangushwa zaidi ya mara tano(5).Mpaka alipo mwomba Baba yake mzazi kuanza kufanya mazoezi na alipofia Secondary School Hakuna aliemuonea mpaka sasa.
John Cena nimiongoni mwa wacheza mieleka maarufu wanaoaminika kuwa na nguvu nauwezo wa kupigana kwasasa ila hii ilitokana nakuonewa kipindi akiwa mdogo na hatabaada yakuwa na Mwili mkubwa na kuwa nanguvu wakati akiwa secondary Hajawai kulipiza kisasi kwa yeyote yule alie wahi kumuonea.


HAHahaha dah
ReplyDelete