Wednesday, 19 July 2017

Siwezi kurudi nyuma siwezi kurudi tena utotoni," Kimbunga

Watu wasizoee tena kimbunga ni mtu wakuvamia bit za watu kimbunga ni mtu wa kudis watu wakati kimbunga anauwezo mkubwa.
Saivi inabidi tutengeneze pesa na jaribu kuwaonesha watu kitu kikubwa tofauti na wao walivyo kuwa wanafkiria mwanzo kitukikubwa kinalicho badilika kwa kimbunga nikwanzia mziki wangu," Alisema Kimbunga

KIMBUNGA ALIFUNGUKA NA KUTAJA WASANII  ANAO WAKUBALI
1.WEUSI-kimbunga alisema mtu akifanya kitu kizuri lazima umuheshimu WEUSI wamefkisha muziki wa Hip Hop mbali na kumalizia na kusema kuwa anawakubali weusi

2.NIKIMBISHI- Namkubali niki mbishi sababu ni mjanja na ananjia nyingi

3.AY- Mziki wa AY hautreand sana lakini bado yupo miaka yote katika watu ambao na waelewa ni AY lakini bado yupo miaka  yote


0 comments:

Post a Comment

Copyright © MOtown TV | Designed With By Blogger Templates
Scroll To Top