Sunday, 17 September 2017

Kevin Hart aomba msamaha familia yake baada ya Drama za Usaliti kufikia pabaya,mambo 5 yakufahamu

Mchekeshaji na mwigizaji Kevin Hart ameomba msamaha familia yake baada ya Drama za usaliti kuchukua hatua nyingine wiki hii.

Mpaka sasa SammisagoTv tumejifunza mambo haya kuhusu Drama hizi

-Kuna mwanamke alirekodiwa akiwa na Kevin Hart kwenye pozi za kimahaba na sasa ametishia kusambaza video hio asipolipwa na Kevin Hart.

-Kevin Hart ameomba msahama mapema kwa mke wake Eniko Parrish mwenye ujauzito kwa sasa na watoto wake wawili kabla mambo hayajaenda mbali.
Tokeo la picha la Kevin Hart
-Stori hii inahusishwa na tukio la July mwaka huu Kevin alifumwa na msanii Monique ‘Momo’ Gonzalez kwenye gari aina ya Lexus

-Video hii mpya ni ya dakika 4 na sekunde 47, inaonyesha watu wawili kitandai wakifanya Ngono ila huwezi jua kama ni Kevin au mtu mwingine.

-FBI tayari wameanza kufanya upelelezi sababu tayari kesi hii imekuwa ya Utapeli na BlackMail.

0 comments:

Post a Comment

Copyright © MOtown TV | Designed With By Blogger Templates
Scroll To Top