Tyson ambaye ni bingwa wa ngumi za kulipwa wa uzito wa juu duniani, amethibitisha stori hii na kusema Jamie Foxx tayari amesaini dili hilo, na utaratibu wa kuanza ku-shoot utaanza siku zijazo sababu Jamie Foxx alikuwa akivizia dili hili toka mwaka 2014.
Tyson pia amesema anaimani watu hawata ipenda filamu hio sababu yeye ana historia mbaya ya maisha yake.
0 comments:
Post a Comment