Saturday, 16 September 2017

Manchester City wamepanda kileleni mwa ligi kuu ya Epl

Manchester City wamepanda kileleni mwa ligi kuu ya Epl baada ya kuichapa bila huruma Watford mabao 6 kwa 0, huku Sergio Aguero akipiga hattrick na mengine yakifungwa na Raheem Sterling, Gabriel Jesus na David Silva.
Mabao ya leo yanamfanya Kun kufikisha junla ya mabao 200 ya soka lake barani Ulaya huku mabao 74 akiwafungia Atletico Madrid na 126 akiwafungia Manchester City.

0 comments:

Post a Comment

Copyright © MOtown TV | Designed With By Blogger Templates
Scroll To Top