Sunday, 1 October 2017

Zaidi ya 300 wajeruhiwa wakati wa kura ya uhuru Catalonia

Spanish civil guards outside a polling station in Sarria de Ter


Maafisa huko Catalalonia wanasema kuwa watu 337 wamejeruhiwa kwenye ghasia wakati polisi wanajaribu kuzuia kura ya maoni ya uhuru wa Catalonia

Serikali ya Uhispania imeahidi kuzuia kura hiyo ambayo imetangazwa kuwa isiyo halali na mahakama ya katiba ya nchi hiyo.

Maafisa wa polisi wanawazuia watu kupiga kura huku wakichukua makaratasi ya kupigia kura na masanduku kutoka kwa vituo vya kupigia kura.


0 comments:

Post a Comment

Copyright © MOtown TV | Designed With By Blogger Templates
Scroll To Top