Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mashuhuda wa Zanzibar wamedai walimuona Diamond Platnumz katika hoteli ya kitalii ya Lagema visiwani humo ambayo pia Dillish alifikia
Mapema wiki hii, Dillish alipost picha mtandaoni kuthibisha kwamba yupo Afrika Mashariki.
Hello Tanzania
Mapema wiki hii, Dillish alipost picha mtandaoni kuthibisha kwamba yupo Afrika Mashariki.
Hello Tanzania

my first time in east Africa.
aliandika Dillish
Wadau wa mambo wanadai huwenda wawili hao wakawa na project ya pamoja.
Baada ya taarifa hizo kuzagaa mama watoto wa muimbaji huyo, Zari ameonekana kuchukizwa na kitendo hicho na kuamua kuandika ujumbe uliodaiwa kuelekezwa na Mnamibia huyo.
“Oh you dming me to tell me how he cheated? So many dicks just like so many pussy on the market. Like why do people think ts all about fighting for dick? Honey I will fight for money not dick,” aliandika Zari kwenye Snapchat akimaanisha kuwa kuna wanaume wengi tu sokoni kama walivyo wanawake wengi. Pia anadai kuwa hana muda wa kugombania mwanaume kwakuwa ni pesa tu ndio ipo akilini mwake.
Jiunge na https://lambegu.blogspot.com/ sasa Usipitwe!! Jiunge namii kupitiaLa MbeguNewz
,ili kupata habari zote za town! Usikose LAMBEGU.BLOGSPOT.COM

0 comments:
Post a Comment